Uzinduzi wa Mpango wa ‘Malaria Safe’
Wadau makampuni na taasisi mbalimbali wanaopambana na ugonjwa wa malaria nchini wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda baada ya uzinduzi wa ‘Malaria Safe Campaign’maraWaziri...
View ArticleMgawo wa umeme wairudisha TANESCO katika kero kwa wateja
Mitambo na mafundi wa TANESCO Na Waandishi Wetu, hudumabongo@gmail.com UCHUNGUZI uliofanywa na wanahabari katika zoezi la kukusanya kero za sekta binafsi linaondelea kupitia mitandao ya jamii ya...
View ArticleTanzanian Mining Companies and Government Agree to Multi-Stakeholder…!
African Barrick Gold logo Tanzanian Mining Companies and Government Agree to Multi-stakeholder partnership approach to help formalise the artisanal mining sector ANGLOGOLD Ashanti (AGA) and African...
View ArticleWalimu Sekondari Wacheza ‘Table Tennis’ Ofisini Korogwe
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Bungu wakiwa katika ofisi za walimu kuzungumzia mafanikio na changamoto mbalimbali kitaaluma katika shule hiyo.Mkuu wa Shule ya Sekondari Bungu, Dismas Kimweli...
View ArticleMbunge, John Mnyika na Ufafanuzi Juu ya Hasara ya Usafiri wa Treni Dar
Usafiri wa treni jijini Dar es Salaam IFUATAYO ni kauli ya mbunge huyo:- BAADA ya baadhi ya vyombo vya habari kuandika Desemba 3, 2012 kauli yangu kuwa usafiri wa treni katika jiji la Dar es salaam...
View ArticleUtoro Watishia Sekondari za Kata Korogwe
Baadhi ya wanafunzi wa Sekondari ya Kwagunda moja ya shule za kata wakizungumzia changamoto mbalimbali za elimuMwalimu wa Taaluma wa Sekondari ya Kwagunda, Halila Mohamed akizungumza na mwandishi wa...
View ArticleOfisi ya Shule ya Msingi Chini ya Mti Huu…!
Mti huu kivuli chake ni ofisi ya walimu (staff room) wa Shule ya Msingi Silabu iliyopo Wilaya ya Korogwe. Thehabari.com imelazimika kuitembelea tena shule hii ikiwa ni miezi sita baada ya kuitembelea...
View ArticleSuala la TSM9 Wanafunzi, Walimu Watupiana Lawama
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Bungu, Dismas Kimweli akizungumza na mwandishi wa habari hizi hivi karibuni Na Mwandishi Wetu, Korogwe SUALA la kuwepo na utata kwa baadhi ya wanafunzi kukwamishwa na fomu...
View ArticleWalimu Waiomba Serikali Itenge Bajeti Kuboresha Elimu za Awali
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Kwagunda, Wilaya ya KorogweMwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kwagunda, David Kituja Na Mwandishi wa Thehabari Korogwe Vijijini BAADHI ya walimu na wazazi wa...
View ArticleBaadhi ya Wanafunzi Kuzuiliwa Matokeo Kidato cha Pili Korogwe
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa Na Joachim Mushi, Korogwe BAADHI ya Wanafunzi waliofanya mitihani wa mchujo wa kidato cha pili kuingia kidato cha tatu Halmashauri ya Wilaya ya...
View ArticleGender Based Violence in Ten Districts of Tanzania Baseline Survey
Gender Based Violence in Ten Districts of Tanzania Baseline Survey GENDER EQUITY AND WOMEN EMPOWEREMENT II: GBV COMPONENT GENDER BASED VIOLENCE IN TEN DISTRICTS OF TANZANIA BASELINE SURVEY DECEMBER...
View ArticleWatanzania Ujerumani Kusherekea Miaka 49 ya Muungano
Ukumbi wa Circus Fabric UMOJA wa Watanzania nchini Ujerumani (U.T.U) Unapenda kuwajulisha kwamba Sherehe za miaka ya Muungano Wa Tanzania Bara na Visiwani zitafanyika mjini Koloni, ujerumani Jumamosi...
View ArticleUtafiti wa TAMWA Wamrudisha Mwanafunzi shuleni Handeni
Bibi wa mwanafunzi Mwenjuma Magalu, Amina Mohamed akizungumza na Mhariri wa mtandao wa Thehabari, Joachim Mushi (kulia) kijijini Msasa, wilayani Handeni juzi. Mwenjuma Magalu (wa kwanza kulia mstari wa...
View ArticleKesi za Mimba kwa Wanafunzi Zapungua Handeni
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Muhingo Rweyemamu akizungumza na mwandishi wa habari hizi (hayupo pichani)Ofisa Elimu wa Wilaya ya Handeni, Mgaza Muchiwa akizungumza na mwandishi wa habari hizi Na Joachim...
View ArticleWasichana Wadogo Waongoza Kuambukizwa VVU Nchini
Rais Jakaya Kikwete (katikati) akisoma ripoti ya viashiria vya Ukimwi nchini katika mwaka 2011/12 baada ya kuizinduwa. RIPOTI ya viashiria vya Ukimwi nchini katika mwaka 2011/12 imeonyesha kuwa...
View ArticleMwenjuma Magalu: TAMWA Imerejesha Ndoto Zangu Kielimu
Mwanafunzi, Mwenjuma Magalu Na Joachim Mushi, Handeni “BAADA ya kumaliza darasa la saba nilichaguliwa kuendelea na masomo ya sekondari, lakini sikufanikiwa kuendelea na elimu hiyo kutokana na uwezo wa...
View ArticleMwanafunzi Kidato cha Pili Abebeshwa Mzigo Kulea Familia
Kaimu Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Komnyang’anyo, Nadhiru Kinyama akizungumza na mwandishi wa Thehabari.comMwanafunzi Mwenjuma Magalu (16), mstari wa pili kulia wa Shule ya Sekondari...
View ArticleUshahidi Kesi za Kubaka/Mimba ni Changamoto Handeni
Hakimu Mkazi Mwandamizi, Mfawidhi wa Wilaya ya Handeni, Patrick Maligana Na Joachim Mushi, Handeni “KESI nyingi za tuhuma za kubaka na mimba kwa wanafunzi zinazotufikia zinashindwa kufikia hukumu maana...
View ArticleWilaya ya Rombo Kutumia Nyuki Kupambana na Tembo Wavamizi
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, Judethadeus Mboya akizungumza na mtandao wa www.thehabari.com hivi karibuni wilayani Rombo.Pichani ni baadhi ya majengo ya Shule ya Msingi Rongai,...
View ArticleShughuli za mpakani zaathiri elimu ya sekondari Rombo
Mwalimu Mkuu Msaidizi wa Shule ya Sekondari Holili, Benson Samizi akizungumza na mwandishi wa www.thehabari.com hivi karibuni wilayani Rombo.Geti la mpaka wa Tanzania na Kenya eneo la Holili, Wilaya ya...
View Article