Quantcast
Channel: Habari za Uchunguzi – Habari | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
Browsing all 54 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BRELA Yaingia ‘Ubia’ na TCCIA Usajili Biashara na Leseni Mikoani

Kaimu Meneja Huduma, Utawala na Fedha wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) Bosco Gadi (katikati) akieleza Vyombo vya Habari juu ya uimarikaji wa huduma za BRELA, katika mkutano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Awaomba Wapiga Kura Wake Kumvumilia Juu ya Ahadi za Maji

Moja ya nyaraka iliyoorodhesha ahadi za mbunge Seleiman Nchambi zikiwa katika ofisi ya Kijiji cha LubagaSehemu ya nyaraka iliyoorodhesha ahadi za mbunge Seleiman Nchambi zikiwa katika ofisi ya Kijiji...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watoto Nkasi Waajiriwa kwa Ujira wa Ndama kwa Mwaka

Mmoja wa watoto akirudisha nyumbani ng’ombe wanaotumiwa kwa kilimo Wilayani Nkasi.Ofisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri wa Wilaya ya Nkasi, Oscar Mdenye.-1Mifugo Wilayani Nkasi. Na Joachim Mushi, Nkasi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mwanafunzi Miaka 13 Msingi Abebeshwa Mimba, Afaulu Sekondari…!

Mwanafunzi huyo akiwa na mwanaye akizungumza na mwanahabari Joachim Mushi, Kijijini Newala Na Joachim Mushi, Newala MIMBA za umri mdogo ambazo zimekuwa zikiwakatisha wanafunzi masomo Wilaya ya Newala,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Askari Mtunza Silaha Dodoma Akamatwa Akiwinda Haramu na Silaha ya Kivita

Silaha aina ya G3 *Akutwa na silaha ya kivita Na Mwandishi Wetu, Dodoma ASKARI wa Jeshi la Polisi mkoani Dodoma ambaye ni mtunza silaha wa Wilaya ya Dodoma mjini, Meja George Andala pamoja na raia sita...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Elimu ya Awali Tunduru na Changamoto Zake

Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao. Na Joachim Mushi, Tunduru WADAU wa elimu nchini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tangazo Msiba wa Amin Elias Mbaga wa TTCL

Amin Elias Mbaga MENEJIMENTI ya Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzao, Amin Elias Mbaga aliyekuwa Meneja Uhusino kilichotokea tarehe 13.10.2014 katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

FemAct Watoa Tamko Kuhusiana na Katiba Pendekezwa

TAMKO LA FEMACT KUHUSU VURUGU ZILIZOTOKEA KATIKA MDAHALO KUHUSU KATIBA PENDEKEZWA KATIKA HOTEL YA BLUE PERL UBUNGO DAR ES SALAAM TAREHE 2 NOVEMBER 2014. Sisi Mashirika yapatayo 50 yanayotetea Usawa wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK Ateuwa Mkurugenzi Mkuu TEA

Rais Jakaya KikweteRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Joel Laurent kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania (TEA). Uteuzi huo umeanza rasmi tangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Fuatilia Matukio Mbalimbali ya Uchaguzi wa Marudio Zanzibar Hapa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa katika foleni ya wapiga kura ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zanzibar Ulinzi Mkali kila Kona Usalama Watawala

Ulinzi umeimarishwa katika ukumbi ambao matokeo ya uchaguzi mkuu wa marudio visiwani Zanzibar yatatangazwa. Mbwa wa ulinzi pia wametumika kukagua eneo hilo, ambalo mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZEC Yamtangaza Dkt Shein Kuwa Mshindi wa Nafasi ya Urais

Mshindi wa nafasi ya Urais katika uchaguzi wa marudio Dkt Shein, amezungumza na wanahabari kuhusu hatima ya chama cha CUF ambacho kilisusia uchaguzi wa marudio Jumapili. Amesema kwa sasa ataongoza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Isaya Mwita wa Ukawa Aibuka Kidedea Umeya wa Jiji la Dar es Salaam

UCHAGUZI wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam ambao umefanyika leo katika ukumbi wa Kareemjee zimeshuhudiwa kuwa mgombea wa vyama vya UKAWA, kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mh. Isaya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Asilimia100 ya watoto wa mitaani Mwanza Wamenyanyaswa Kingono-Utafiti

Mkurugenzi wa shirika la Railway Children, Kanda ya Afrika Mashariki, Bw. Pete Kent akizungumza na waandishi wa habari kuzungumzia utafiti wa watoto wa mitaani walioufanya mwaka 2015 mkoani Mwanza....

View Article
Browsing all 54 articles
Browse latest View live